Wananchi kisiwani Pemba wakiwa katika harakati za uvunaji na uchambuaji waZao la Karafuu Kisiwani Pemba ikiwa ni moja ya kuokoa zao hilo, ambalo ni moja la Zao kuu la Biashara Zanzibar.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Habari njema kwa wakazi wa Arusha! Halmashauri ya Wilaya ya Arusha
imependekeza bajeti ya shilingi bilioni 75.4 kwa mwaka wa fed...
16 hours ago
0 Comments