Mwakilishi wa Jimbo la Mpendae Mohammed Salum Ndimwa na Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Bihindi Hamad, wakifuatilia mchezo wa Fainal wa Karata na Bao uliofanyika katika kikao cha Karata Jangombe jumba la vigae,ikiwa ni maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar kutimia miaka 50.
Mchezo wa fainali ukiendelea kwa upinzani mkubwa
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
9 hours ago
0 Comments