6/recent/ticker-posts

Pemba Air Port Waaa

 
Jengo la Uwanja wa Ndege la Chake Chake Pemba lameremeta 
Wafanyakazi wa Uwanja wa ndege wa Pemba ukifanyiwa matengenezo kwa kupaka rangi vidaraja vya barabara ya juingia katika jengo hilo, ikiwa matayarishi ya kusherehekea miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar yanayotarajiwa kufanyika Januari mwakani 2014.

Post a Comment

0 Comments