Meneja Masoko wa PBZ Seif Suleiman akimkabidhi fulana kwa ajili ya sare kwa Wananchi watakaoshiriki Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar Mkurugenzi Mipango Bwa.Hassan, wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar kulia Afisa wa PBZ Hassan Maulid
Mtoto wa miaka 12 ajinyonga baada ya kukemewa Morogoro
-
Mtoto mwenye umri wa miaka 12, Rajabu Ally Mohammed, mkazi wa Ijava
wilayani Gairo mkoani Morogoro, amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya
kukemewa na...
1 hour ago
0 Comments