Wachuuzi wa samaki katika bandari ya malindi Zanzibar wakiwa katika mnada wa soko hilo wakinunua samaki kutoka kwa wavuvi wanaowasili katika bandari hiyo ya asili katika visiwa vya Unguja. Katika kipindi hicho samaki wamekuwa na bei kubwa kutokana na hali ya bahari kuwa na upepo na mawimbi makubwa katika kipindi hichi na bidhaa hiyo kuwa na bei juu katika mnada huo.
RAIS SAMIA KUZINDUA SERA ITAKAYOBADILI MFUMO WA MATUMIZI YA RASILIMALI ZA
UMMA
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Serikali imelenga kuimarisha uwazi, uwajibikaji na ufanisi katika matumizi
ya rasilimali za umma, sambamba na kuhaki...
25 minutes ago
0 Comments