Watalii wanaotembelea katika Visiwa vya Zanzibar hupata fursa za kutembelea maeneo ya Historia na vivutio vya Utalii ndani ya Zanzibar na vitongoji vyake. Kama wanavyoonekana Watalii hawa waliofika Zanzibar wakipata historia ya Nyumba ya Marcury ilioko katika mtaa wa shangani ndani ya mji mkongwe wa Unguja.Wageni wengi wanaotembelea Zanzibar hufika katika nyumba hii ikiwa katika medali ya historia ya Zanzibar.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
10 hours ago
0 Comments