Ziara ya kikazi ya ujumbe wa wadi za Makunduchi imemalizia kwenye makumbusho ya watu wajulikanao Sami, ambao maisha yao ni kama ndugu zetu Wamasai. Ziara ya kwenye kumbusho ni muhimu kwani wadi za Makunduchi zina azma ya kuanzisha kumbusho lake. Kutoka kushoto ni ndugu Mohd Simba, Abdallah Ali Kombo, mwalimu Haji Kiongo, Mohamed Muombwa na bi Mariam, diwani wa Mtegani.
MTENDAJI MKUU ADEM YASISITIZA UWAJIBIKAJI NA UMOJA KWA WATUMISHI
-
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt.
Maulid J. Maulid, amefanya kikao kazi na watumishi wa taasisi hiyo kutoka
kampasi zot...
24 minutes ago
0 Comments