Msikiti wa Kibweni Msheli shelini jirani na majengo ya Mh:
Raza unahitaji mchango wako kwani umo katika eneo la utanuzi wa barabara. Hivyo
waislamu wamejitolea kuuza nyumba zao zilizojirani na msikiti huo kwa ajili ya
kupisha upanuzi wa mskiti huo.
Kamati ya Bunge ya Miundombinu Yaipongeza TCAA kwa Kuimarisha Usimamizi na
Maendeleo ya Sekta ya Usafiri wa Anga
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), imetembelewa na Kamati ya Bunge
ya Miundombunu na kupongezwa kwa jitihada zake za kuisimamia na kuiendeleza...
44 minutes ago


0 Comments