Msikiti wa Kibweni Msheli shelini jirani na majengo ya Mh:
Raza unahitaji mchango wako kwani umo katika eneo la utanuzi wa barabara. Hivyo
waislamu wamejitolea kuuza nyumba zao zilizojirani na msikiti huo kwa ajili ya
kupisha upanuzi wa mskiti huo.
WAHITIMU TaSUBa WAHIMIZWA KUILINDA AMANI YA TANZANIA
-
Na MWANDISHI WETU, Bagamoyo
WAHITIMU wa Taasisi ya Sanaa na Utamaduni Bagamoyo (TaSUBa), wamehimizwa
kuilinda amani nchini.
Akizungumza katika Mahafali ya...
8 hours ago


0 Comments