Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni Zanzibar Mhe. Hamad Yussuf Masauni (kushoto) akimsikiliza kwa makini Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Kikwajuni Mhe Mahmour Mohammed Mussa,alipofika kuzungumza masuala ya jimbo lao katika viwanja vya Baraza Chukwani wakiwa nje ya ukumbi wa mkutano ili kupanga mikakati ya Jimbo lao katika miradi ya maendeleo ya jimbo ikizingatiwa Jimbo likiwa na Mradi Mkubwa wa Usambazaji wa Maji Safi na Salama kwa Wananchi wao.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
5 hours ago
0 Comments