AKINA mama wa kikundi cha Jumuika cha Pembeni Mavungwa wilaya ya Chake Chake, wakiwa katika kazi za ufinyanzi wa Vyungu,Mikungu na viotezo kama walivyokutwa na mpiga picha wetu. (Picha na Ussi Faki, Pemba.)
RC KANALI KIDO AAHIDI KIPAUMBELE CHAKE NI ULINZI NA USALAMA MKOANI KAGERA
-
Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Mkoa wa Kagera kanali Yahaya Ramadhani Kido amesema suala la
ulinzi na usalama litakuwa kipaumbele chake cha kwanza kutokana ...
24 minutes ago
0 Comments