Mwananchi huyu akikatisha njia kwa kupanda ukingo wa barabara unaogawa barabara mbili katika maeneo ya mwanakwerekwe na kusababisha msongamano wa magari na kuhatarisha watumiaji wa bara hiyo inaweza kusababisha ajali na kukiuka sheria za barabara kupita sehemi isiyo husika kama hii. Tusema dereva huyu kweli ana maadili ya utumizi wa barabara na ana leseni halali
WAPENDANAO WAPOKEA SIMU YA NGORONGORO, WAJIMWAGA NDANI YA HIFADHI
KUNAWIRISHA PENZI LAO
-
Na Mwandishi wetu, Ngorongoro.
Kama wewe unahisi Penzi lako linalegalega na kuishiwa Pawa hujachelewa,
mshawishi mpenzi, mume au mke wako mje Bustani ya ...
55 seconds ago
0 Comments