6/recent/ticker-posts

Ziara ya wabunge kutoka Ireland Pemba

MBUNGE wa jimbo la Wawi Kisiwani Pemba, Mhe: Hamad Rashid Mohamed analiwakilisha bunge Tanzania katika bunge la Europa, akiwaonesha wabunge wenzake wa Europa kutoka nchini Ireland, mwani unaolimwa na wananchi wa Tumbe Wilaya ya Micheweni kisiwani Pemba, wakati wa ziara ya wabunge hao wa AWEPA.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba, Mhe:Hemed Suleiman Abdalla, akizungumza na wabunge wa Bunge la Awepa kutoka nchini Irelanda, walipofanya ziara ya kutembelea bwawa la kufugia samaki huko Mwambe, katika ziara yao ya kuangalia miradi ya wananchi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Post a Comment

0 Comments