Mjasiriamali wa biashara ya matunda katika mitaa ya Mji Mkongwe akiwa bizi na kupata habari
mbalimbali kupitia moja ya magazeti yanayochapishwa Tanzania wakati askisubiri
wateja wa bidhaa hizo katika mtaa wa Mkunazini Unguja jana.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
49 minutes ago
0 Comments