MTENDAJI wa chuo cha biashara na elimu Zanzibar, Z.C.B.E Ahmed Mohamed akizungumza na wanafunzi juu ya matayarisho ya mahafali ya kwanza ya chuo hicho, yanayotarajiwa kufanyika Jumamosi, chuo cha Amali Vitongoji Chake Chake Pemba, ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Makamu wa pili wa rais Zanzibar Mhe: Balozi Seif Ali Idd, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
REA WAACHA TABASAMU KILOMBERO UJENZI KITUO CHA KUPOZA UMEME IFAKARA
-
*Ni ujenzi uliogharimu Sh.bilioni 25,changamoto ya kukatika umeme imebaki
historia
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ifakara
MRADI wa ujenzi wa Kituo cha ku...
1 hour ago
0 Comments