Hussen Ferej akiwajibika jukwaani wakati Watanzania walipokuwa wanatumbwizaNgoma aina ya “Kitua tua” katika Jukwaa kuu la Maonesho ya Kimatifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman.
 Hussen Ferej akiwajibika jukwaani wakati Watanzania walipokuwa wanatumbwizaNgoma aina ya “Kitua tua” katika Jukwaa kuu la Maonesho ya Kimatifa ya Sanaa Ubunifu na Utamaduni yanayoendelea Mascut-Oman.
 Wasanii wa Ngoma ya Msewe kutoka Tanzania wakitumbuiza katika Jukwaa kuu kwenye Maonesho yanayoendelea ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni,Muscut –Oman.Wasanii hao watakuwa wakitoa burudani hiyo kwa wiki mbili

Baadhi ya Mashabiki wakitazama burudani iliyokuwa ikitolewa na Wasanii kutoka nchi tofauti duniani zinazoshiriki Maonesho Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni, nchini Oman
 Wasanii wa Ngoma ya Msewe kutoka Tanzania wakitumbuiza katika Jukwaa kuu kwenye Maonesho yanayoendelea ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni,Muscut –Oman.Wasanii hao watakuwa wakitoa burudani hiyo kwa wiki mbili
Wasanii kutoka Ufaransa nao wakitoa burudani ya aina yake katika Jukwaa kuu la Maonesho yanayoendelea ya Sanaa,Ubunifu na Utamaduni,Muscut –Oman. 
India ni miongoni mwa Nchi zinazoshiriki Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na 

Utamaduni,yanayofanyika Muscut –Oman.Wasanii wa kike wa India wakitoa burudani ya 

kiutamaduni wa kihindi katika Jukwaa la Maonesho hayo
Baadhi ya Mashabiki wakitazama burudani iliyokuwa 

ikitolewa na Wasanii kutoka nchi tofauti duniani zinazoshiriki 

Maonesho Maonesho ya Kimataifa ya Sanaa,Ubunifu na 

Utamaduni, nchini Oman(Faji Mjaka Oman)