Ujumbe wa Manispaa ya Kiruna umewasili leo na kupokelewa na Afisa Tawala mstaafu wa Wilaya ya Kusini ambaye pia ni Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Wadi za Makunduchi, ndugu Abdallah Ali Kombo. Ujumbe huo utaanza ziara yake rasmi kesho kwa kuangalia kiwanja kinachotegemewa kujengwa chuo cha biashara huko kigaeni Makunduchi. Katika picha kutoka kulia ni ndugu David, Bi Anniken, ndugu Kenneth, ndugu Abdallah Ali Kombo na ndugu Ove, ambaye ndiye mkuu wa miradi.
HESLB yaanza kupokea maombi ya mikopo Diploma
-
Na: Mwandishi Wetu, DAR
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeanza rasmi kupokea
maombi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ngazi ya Stash...
44 minutes ago


0 Comments