Mwakilishi wa jimbo la mji mkongwe Mhe: Ismail Jussa Ladhu akiongea na waTanzania wa DMV, walioka meza kuu wakanza kushoto Katibu wa Tawi la Chadema DMV Liberatus "Libe" Mwangombe, akifuatiwa na Mwenyekiti wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Kalley Pandukizi, Shamis Alkhatry CUF pamoja na Katibu Mkuu wa Baraza la kina mama CHADEMA DMV Bi Baybe Mgaza.
TCD Yaendelea Kuunganisha Vyama vya Siasa Kujadili Masuala ya Taifa
-
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ahmed akizungumza jijini Dar es
Salaam Machi 13, 2026 katika hafla ya futari kwa Waislam na Wakristu
iliyoandali...
2 hours ago
0 Comments