Imekuwa ni jambo la kawaida kwa maderevya wa daladala kukiuka sheria ya usalama
barabarani kwa kuegesha daladala katika
eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati
wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la donge
zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara
Serikali Yathibitisha Uhakika wa Ardhi kwa Wawekezaji Bagamoyo
-
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo
(MB.), Akikabidhi hati za mikataba ya uwekezaji kwa wawekezaji katika Eneo
Maalum...
1 hour ago
0 Comments