Wananchi wakiangalia gari iliopata ajali katika barabara ya mazizini Fumba, baada ya kupoteza muelekeo na kuingia katika mtoro wa barabara hiyo kama inavyoonekana gari hii yenye namba za usajili Z 870AU, iliacha njia na kuingia katika mtaro huo. Katika ajali hiyo hakuna Mtu aliyejeruhiwa
Dar City, Fox Divas watwaa ubingwa wa betPawa NBL 2025
-
Na Mwandishi wetu
Timu ya Dar City kwa upande wa wanaume na Fox Divas kwa upande wa wanawake
zimetwaa ubingwa wa mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa k...
6 hours ago
0 Comments