BADO wapo baadhi ya wasimamizi wa sheria
ndani ya Jeshi la Polisi, wamekuwa na kigugumizi kutii sheria bila ya shuruti,
ambapo askari trafik kisiwani Pemba, akiwa amepanda vespa yenye namba za
usajili Z 598 FG bila ya kuvaa kofia ngumu ‘helmet’ kama alivyokutwa na mpiga
picha wetu- katikati ya mji wa Chake chake kisiwani Pemba.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
12 hours ago
0 Comments