Mgombea urais kupitia ADC Mhe Hamad Rashid Mohammed akifungua rasmi kampeni katika kisiwa cha Pemba katika kiwanja cha Gombani ya Kale leo hii. mkutano ulianza saa 8 mchana hadi saaa 12 jioni. Picha na Khamis Kidege, Pemba
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
3 hours ago
0 Comments