MWENYEKITI wa bodi ya wadhamini Taifa wa Chama cha
ADC, Kimangale Ayoub Mussa, akiwaonyesha wananchi na wanachama wa ADC Jimbo la
Wete, mfano wa karatasi ya Kupigia Kura Urais wa Jamahuri ya Muungano wa
Tanzania, kwa kutokuwemo kwa Chama cha CUF na Jina la UKAWA katika karatasi
hiyoo, wakati wa mkutano wa kampeni wa Chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANANCHI na wanachama wa ADC jimbo la Wete Kisiwani
Pemba, wakisikiliza kwa makini jinsi ya wagombea waliomo katika karatasi za
kupigia kura urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa mkutano wa
Chama hicho katika uwanja wa Jadida Wete.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WANACHAMA wa Chama cha ADC Jimbo la Wete Kisiwani
Pemba, wakiwa na sare zao wakimsikiliza mgombea urais wa Zanzibar Mhe:Hamad
Rashid Mohamed, wakati alipokuwa akiwahutubia wanachama wa ADC Jimbo la Wete
huko katika viwanja vya Jadida Pemba.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akizungumza na wananchi na wanachama wa ADC Jimbo
la Wete katika mkutano wa hadhara wa kuwanadi wagombea Ubunge, Udiwani na
Uwakilishi.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
0 Comments