MAFUNDI rangi wakiwa katika hatua za mwisho,
kukamilisha kazi ya upakaji wa rangi katika jingo la Mahakama ya Mkoa wa kusini
Pemba, ambayo imefanyiwa Ukarabati mkubwa mahakama hiyo, pichani mafundi
wakimalizia upakaji wa rangi hiyo.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
GGML Kili Challenge Yashiriki Maonesho ya Kilimanjaro Marathon 2026
-
Moshi, Tanzania
GGML Kili Challenge inayotekelezwa kupitia GGML Kili Trust, inashiriki
Kilimanjaro Marathon 2026, maarufu kama “Mbio za Watu”, kupitia ma...
4 hours ago
0 Comments