Wanafunzi wakiwa mbele ya gari daladala lililokuwa likipita njia isiyo ruhusiwa katika eneo la kiponda baada ya kuzuka kwa mabishano na msukuma mkokoteni ambaye yuko sawa kupita njia hiyo mwenye daladala akipita kinyume na sheria za barabara katika mitaa ya mji mkongwe wa Zanzibar
UKAGUZI WA MABASI YA ABIRIA WAFANYIKA KUDHIBITI AJALI
-
Na Pamela Mollel Arusha
Jeshi la Polisi Nchini kupitia kikosi cha Usalama barabarani limefanya
ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria kwa ajili ya kudhibit...
1 hour ago
0 Comments