Wanafunzi wakiwa mbele ya gari daladala lililokuwa likipita njia isiyo ruhusiwa katika eneo la kiponda baada ya kuzuka kwa mabishano na msukuma mkokoteni ambaye yuko sawa kupita njia hiyo mwenye daladala akipita kinyume na sheria za barabara katika mitaa ya mji mkongwe wa Zanzibar
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
7 hours ago
0 Comments