Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani wakiwa katika mnada wa samaki katika marikiti hiyo mtungo mmoja wa samaki aina ya changu uliuzwa kwa shilingi laki moja na ishirini
HUU NDIO UTOFAUTI WA CCM NA VYAMA VINGINE - KIHONGOSI
-
Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),
Komredi Kenani Labani Kihongosi,ametembelea Shina Namba 7 la CCM katika
Tawi la Many...
14 minutes ago
0 Comments