Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani wakiwa katika mnada wa samaki katika marikiti hiyo mtungo mmoja wa samaki aina ya changu uliuzwa kwa shilingi laki moja na ishirini
SERIKALI YATANGAZA MPANGO WA KUONGEZA NDEGE NANE KWA ATCL KUIMARISHA
USAFIRI WA ANGA KUCHOCHEA UCHUMI WA TAIFA
-
SERIKALI imetangaza mpango wa kuongeza ndege nane kwa Shirika la Ndege
Tanzania (ATCL), hatua itakayofikisha jumla ya ndege 24 ifikapo mwaka 2030,
ikiwa ...
2 minutes ago
0 Comments