Kamati ya Wadi za Makunduchi na Wajumbe wa Manispaliti ya Sundsvall wakutana na Viongozi wa FAWE Zanzibar kwa lengo la kutafuta uwezekano wa kuanzisha mradi wa FAWE katika skuli za Makunduchi. Ujumbe huo wa Sundsvall ulifuatana pia na wanafunzi wa kidato cha sita ambao wameanzisha uhusiano na skuli ya Kusini. Kutoka kushoto waliosimama ni Mwalimu Mwita Masemo, Mratibu wa Uhusiano Ndg.Mohamed Muombwa na 'Senior Citizen' wa Makunduchi Ndg. Hafith Ameir.
TCD Yaendelea Kuunganisha Vyama vya Siasa Kujadili Masuala ya Taifa
-
Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Mohamed Ahmed akizungumza jijini Dar es
Salaam Machi 13, 2026 katika hafla ya futari kwa Waislam na Wakristu
iliyoandali...
56 minutes ago

0 Comments