Credit: Talib Ussi
DK.MIGIRO ATOA MWITO KWA WABUNGE,MAWAZIRI KUSHIRIKI VIKAO VINAVYOITISHWA NA
MABALOZI WA MASHINA ,MATAWI
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi( CCM) Dk.Asha-Rose Migiro ametoa mwito
kwa viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo Wabunge n...
4 hours ago




4 Comments
Huu ndo uwanja wa ndege wa Zanzibar?
ReplyDeleteNi jengo jipya la huduma kwa wasafiri watakao tumiya uwanja wa ndege wa kimataifa.
ReplyDeletemuandishi unatuboa sasa unaweka picha hamna maelezo ndio vipi?, au ndo tuagulie tu.
ReplyDeleteMimi nimeambiwa hii ni airport ya Kisumu Kenya. Na hapa naona hakuna jawabu iliyotolewa
ReplyDelete