Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) mara baada ya kuwaapisha Viongozi hao hapo jana, kikao kilichofanyika leo kiliwajumuisha Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wote wa wizara 13 katika ukumbi wa Baraza hilo Ikulu Mjini Unguja, [Picha na Ikulu.]
Teknolojia : Wizara Maji na Matumizi ya Teknolojia katika utatuzi wa
changamoto
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala
Wiki ya Maji Kitaifa nchini Tanzania na Siku ya Maji Duniani imemalizika
Machi 22, 2026. Imekuwa ni wiki nzuri kwani mijadal...
2 hours ago

1 Comments
Mmmh business as usual, you ought to change your mindset. Nendeni kwa wananchi mkatatue changamoto zao.
ReplyDelete