BIASHARA ya madafu imekuwa maarufu visiwani,
ingawa aina ya minazi inayoangushwa madafu sio ile maalumu jambo ambalo
limetajwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kupanda kwa bei ya nazi ingawa pia sababu
nyengine ni kukatwa, pichani mzee wa Mkanyageni akiwahudumia wateja wake , (Picha na Haji Nassor, Pemba).
TMA JNIA YATOA ELIMU KWA JAMII KUADHIMISHA SIKU YA HALI YA HEWA DUNIANI 2026
-
Na Karama Kenyunko Michuzi Tv
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Kituo cha Hali ya Hewa cha Uwanja
wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), im...
55 minutes ago
0 Comments