KOCHA wa timu wa timu ya Shaba ya Kojani inayoshiriki ligii kuu ya Zanzibar Ali Dau akizungumza na mwandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM Is-haka Mohamed Rubea mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu Zanzibar kanda ya Pemba uwanja wa Gombani ambapo Shaba illala kwa mabao 7-1 (Picha na Haji Nassor, Pemba).
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
25 minutes ago
1 Comments
Assalamu Alaykum!! Sasa jamani hii timu ya Shaba imecheza na nani!!
ReplyDelete