KOCHA wa timu wa timu ya Shaba ya Kojani inayoshiriki ligii kuu ya Zanzibar Ali Dau akizungumza na mwandishi wa habari wa kituo cha redio cha Zenj FM Is-haka Mohamed Rubea mara baada ya kumalizika kwa mchezo wa ligi kuu Zanzibar kanda ya Pemba uwanja wa Gombani ambapo Shaba illala kwa mabao 7-1 (Picha na Haji Nassor, Pemba).
MBUNGE KILOMBERO ATOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO, APOKEA MSAADA WA
MAGODORO, CHAKULA.
-
Mbunge wa Jimbo la Kilombero, Abubakari Asenga, ametoa pole kwa wananchi wa
jimbo hilo waliokumbwa na mafuriko makubwa yaliyosababishwa na mvua
zinazoend...
41 minutes ago
1 Comments
Assalamu Alaykum!! Sasa jamani hii timu ya Shaba imecheza na nani!!
ReplyDelete