Askari wa Usalama Barabara na Wananchi wakiangalia magari yaliogongana uso kwa uso katika barabara ya kwa boko, katika ajali hiyo iliyozihushisha gari ya daladala na gari ndogo. Dereva wa gari ndogo amepata majaraha.
BASI LA KINGS MASAI TOURS LAKAMATWA KWA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
TANZANIA NA MSUMBUJI, MMILIKI AHOJIWA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya imekamata kilogamu
9,689.833 za dawa za kulevya, pikipiki 11 na magari mat...
25 minutes ago
0 Comments