Askari wa Usalama Barabara na Wananchi wakiangalia magari yaliogongana uso kwa uso katika barabara ya kwa boko, katika ajali hiyo iliyozihushisha gari ya daladala na gari ndogo. Dereva wa gari ndogo amepata majaraha.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
11 hours ago
0 Comments