Mradi wa Uwekaji Taa zinazotumia nguvu ya jua ukiendelea katika maeneo mbalimbali ya barabara za Unguja kama inavyoonekana pichani ni moja ya sehemu ya barabara ya amani zikiwa tayari zimefungwa na kutowa huduma hiyo wakati wa usiku kutowa mwanga kwa watumiaji wa barabara hiyo.
FUKUO LA KUFUKUA MAAJABU YA NGORONGORO LAFUKULIWA
-
Waswahili husema "Dunia ni jumba la maajabu " Ngorongoro haiishiwi maajabu
, Ni kama vile lile fukuo la kufukulia maajabu ndani ya hifadhi ya eneo la
Ng...
3 hours ago
0 Comments