Wafanyakazi wa Manispa wa Baraza la Manispa Zanzibar wakiichukua gari iliyoegesha katika eneo haliruhusiwi kuegeshwa kwa magari katika eneo la barabara ya hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar , kama linavyoonekana picha gari hiyo ikipakiwa katika gari maalum kwa kazi hiyo.
HESLB INAVYOSHIRIKIANA NA WADAU KUWAWEZESHA WANAFUNZI KUJITEGEMEA KIUCHUMI
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Elimu ni haki muhimu ya binadamu. Elimu ni nyenzo muhimu ya kumsaidia
binadamu kumudu maisha yake. Kwa kutambua hilo, nd...
1 hour ago
0 Comments