Wafanyabiashara katika Makontena ya Darajani wameafa kubomoa madaka yao baada ya kufika muda waliopewa mwisho mwa mwizi huu zoezi hilo limeaza usiku huu kubomoa na kuchukua vifaa vya vya ujenzi makontena hayo ni baadhi ya eneo hilo la darajani linalotaka kujengwa Maduka ya Kisasa
Arusha Yageuza Bodaboda Kuwa Fursa Mpya
-
Na Pamela Mollel,Arusha.
Jiji la Arusha limeanza ukurasa mpya katika sekta ya bodaboda baada ya Mkuu
wa Wilaya ya Arusha, Joseph Modest Mkude, kuzindua m...
9 hours ago
0 Comments