Vijana wa Mradi wa ACCRA wakiwa katika harakati za kuyafanyia matengenezo majengo ya Mji Mkongwe ili kuimarisha majengo hayo katika hifadhi yake na kuzidi kuvutia katika haiba yake ya zamani kama walivyokutwa vijana hawa wakiufanyia ukarabati mlango wa Zanzibar katika mtaa wa Hamamni.
DCEA:TUMEDHIBITI DAWA ZA KULEVYA SASA WAMEHAMIA KATIKA ULEVI WA POMBE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), imesema
Tanzania imefanya kazi kubwa katika kupambana na dawa za k...
2 hours ago
0 Comments