Sehemu ya tuta la kuzuia maji chumvi huko Ndagoni
Ujumbe wa Benki ya Dunia ukikagua mradi wa tuta la kuzuia maji chumvi huko shehia ya Ndagoni kisiwani Pemba. Mradi huu uko chini ya Tasaf
Ujumbe wa Benki ya Dunia ukipata maelezo juu ya mradi wa tuta la kuzuia maji chumvi huko Ndagoni
Baadhi ya miti ya mikoko iliyopandwa
Picha zote na Haji Nassor Pemba
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
2 hours ago
0 Comments