Baadhi ya Wafanyabiashara bila ya kujua athari ya matumizi ya bidhaa hizo kama inavyoonekana pichani mfanyabiaashara huyu akiwa amechanganya bidhaa hizo kukiwa na dawa za sumu ya panya na dawa za misuwaki zikiwa pamoja hii inaweza kuleta athari kwa mnunuzi. Inahitajika kutowa elimu kwa wafanyabiashara wa bidhaa za athari kwa binadamu kuweza kuzitenga tafauti na bidhaa za vyakula.
The Brutality and Atrocities of Sudan’s Rebels: Will the World Choose
Silence or Stand Up to Fight for Peace?
-
By Moses Ntandu, Dar es Salaam, Tanzania
Without shame or considering of human dignity and the rights of innocent
civilians, the Rapid Support Forces (RSF...
4 hours ago
0 Comments