Baadhi ya Wafanyabiashara bila ya kujua athari ya matumizi ya bidhaa hizo kama inavyoonekana pichani mfanyabiaashara huyu akiwa amechanganya bidhaa hizo kukiwa na dawa za sumu ya panya na dawa za misuwaki zikiwa pamoja hii inaweza kuleta athari kwa mnunuzi. Inahitajika kutowa elimu kwa wafanyabiashara wa bidhaa za athari kwa binadamu kuweza kuzitenga tafauti na bidhaa za vyakula.
Meya Kigamboni awafariji wagonjwa agawa zawadi
-
Na MWANDISHI WETU
Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni ambaye ni Diwani wa
Kata ya Kibada Mhe. 𝗔𝗺𝗶𝗻𝗶 𝗠𝘇𝘂𝗿𝗶 𝗦𝗮𝗺𝗯𝗼, amefanya ...
3 hours ago
0 Comments