Waziri wa Habari Utamaduni Michezi Mhe Nape Nnauye, akiwasili katika ukumbi wa mkutano mkuu wa TBN kwa ajili ya kufunga mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa jengo la Mfuko wa PSPF Dar es Salaam.
Waendeshaji wa mitandao ya kijamii (bloggers) wakipiga picha ya Selfie na Waziri
wa habari na Uenezi mara baada ya kufunga kongamano la mkutano mkuu wa mwaka wa
Tanzania Network (TBN) jijini Dar es Salaam leo
MAHAFALI YA 48 YA BODI YA NBAA YAFANA
-
Wahitimu wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) wakiwa
kwenye maadamano ya kitaaluma wakati wa mahafali ya 48 ya Bodi hiyo
yaliyofanyik...
3 hours ago
0 Comments