Kikosi cha Polisi Usalama barabarani kukataza kuchukua abiria kupita uwezo wa gari husika kuna baadhi ya madereva na utingo wa gari hizo hukiuka sheria hiyo na kuchukua abiria kupita kiasi na kuhatarisha usalama wa abiria hao kama ilivyokutwa gari hii ya daladala njia ya Mwanyanya ikiwa na abiria wakiwa wananing'inia katika kibao cha gari hiyo na kuhatarisha usalama wao.
TANZANIA NA CHUO KIKUU CHA LIMERICK WASAINI MAKUBALIANO YA UFADHILI WA
SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED
-
SERIKALI ya Tanzania na Chuo Kikuu cha Limerick cha nchini Ireland
wamesaini hati ya makubaliano ya utekelezaji wa ufadhili wa Samia
Scholarship Extended, ...
2 hours ago
0 Comments