Kikosi cha Polisi Usalama barabarani kukataza kuchukua abiria kupita uwezo wa gari husika kuna baadhi ya madereva na utingo wa gari hizo hukiuka sheria hiyo na kuchukua abiria kupita kiasi na kuhatarisha usalama wa abiria hao kama ilivyokutwa gari hii ya daladala njia ya Mwanyanya ikiwa na abiria wakiwa wananing'inia katika kibao cha gari hiyo na kuhatarisha usalama wao.
RC SENDIGA APINGA TAKWIMU ZA DAWA MANYARA
-
Na Mwandishi Wetu, Manyara.
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Mhe. Queen Sendiga, amepinga takwimu zinazoonesha
kuwa upatikanaji wa huduma za dawa mkoani humo ume...
4 hours ago
0 Comments