Eneo la barabara ya Darajani likiwa katika hali ya utulivu na kupungua kwa msongamano wa magari katika eneo hilo tafauti na siku za nyuma eneo hili lilikuwa na msongamano wa magari kwa wakati wa asubuhi na mchana kwa sasa likiwa katika mandhari ya utulivu kwa wananchi wanaofika katika marikiti ya Darajani kufuata mahitaji yao.
CAMFED yaandika Historia ya kuwawezesha wasichana kielimu na Uchumi Tanzania
-
Na Farida Mangube Morogoro
Katika hatua ya kuimarisha nafasi ya mtoto wa kike katika elimu na uchumi
wa Taifa, Shirika lisilo la kiserikali la CAMFED lim...
39 minutes ago
0 Comments