Eneo la barabara ya Darajani likiwa katika hali ya utulivu na kupungua kwa msongamano wa magari katika eneo hilo tafauti na siku za nyuma eneo hili lilikuwa na msongamano wa magari kwa wakati wa asubuhi na mchana kwa sasa likiwa katika mandhari ya utulivu kwa wananchi wanaofika katika marikiti ya Darajani kufuata mahitaji yao.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
15 hours ago
0 Comments