LICHA ya Serikali kutaka kujenga viwanja vya michezo kila Wilaya, lakini ipo haja ya kuandaa mazingira mazuri ya kukuza soka la vijana, Pichani watoto wakicheza mpira katika Uwanja wao ambao husubiri hadi maji ya bahari kukupwa na kutoka ndipo wapate nafasi ya kucheza mpira huko Wesha Chake Chake Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
RAIS DKT SAMIA AKICHEZA NGOMA PAMOJA NA KIKUNDI CHA NGOMA ZA ASILI CHA
WANAFUNZI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akicheza pamoja na kikundi cha ngoma za asili cha Wanafunzi wa Shule ya
Msingi Kisu...
19 minutes ago
0 Comments