MJASIRIAMALI
wa biashara ya nazi katika eneo la chukwani unguja Ndg Salim Ali Mihambo akipanga bidhaa hizo
kama alivyokutwa na mpiga picha wetu akiwa katika harakati za kupanga bidhaa
hiyo, fungu moja anauza shilingi 10,000/= likiwa na nazi 8, bidhaa ya nazi katika kipindi hichi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani hutumika kwa wingi katika mapishi ya futari na maakuli mengine.
TRA YAANZA KUCHUKUA HATUA UTARATIBU MPYA UINGIZAJI MAFUTA YA KULA
-
KAMISHINA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) Yusuph Mwenda amesema
Mamlaka hiyo tayari imeanza kuchukua hatua kuelekea kuanza kutumika kwa
utaratibu m...
3 hours ago
0 Comments