Wananchi katika eneo la mitaa ya mji wa Chakechake wakisaidia na
kuangalia ajali ya vespa iliokuwa ikiendeshwa na Ndg.Yussuf Ramadhan, baada ya kutokezea ajali hiyo leo katika mida ya saa saa 8: 56 karibu na Ofisi za Tume ya
uchaguzi Zanzibar.(Picha na mpiga picha wetu Pemba)
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
55 minutes ago
0 Comments