Wachezaji wa mchezo wa JWTZ wakijiandaa na michuano ya Majeshi ya Afrika Mashariki yanayotarajiwa kufanyika Nchini Burundi mwezui huu 26, Agusti kutimbua vumbi kwa michezo mbalimbali. Wakiwa katika Kambi yao ya mazoezi Zanzibar kujiandaa ni michuano hiyo. Wakifanya mazoezi hayo katika uwanja wa Nyuki maisara Zanzibar.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
2 hours ago
0 Comments