Waziri wa Kazi Uwezeshaji Wazee Vijana na Wanawake na Watoto Zanzibar Mhe Maudline Castico akiwasili katika ukumbi wa mkutano na kutembelea maonesho ya Vijana wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort Mazizini Zanzibar.
Waziri Castico akipata maelezo wakati akitembelea maonesho hayo.
SWADAKA NI NGAO NA KINGA YA MADHAMBI KWA MWENYE KUITOA KWA AJILI YA ALLAH –
MISANGA
-
Taasisi ya Ramadhan Charity Programme 2026 imewataka Watanzania kutumia
mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa wamoja, kusaidiana na kufanya kazi kwa
pamoja ka...
4 hours ago
0 Comments