Mchezaji wa Timu ya Duma akiwa na mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi ya Netiboli Kanda ya Unguja inayofanyika katika viwanja vya Gymkhana Unguja Timu ya Duma imeshinda kwa mabao 46-34.
Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa
-
Na Mwandishi wa OMH
Kibaha, Pwani. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo
cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC), imeendesha mafunzo ya s...
1 hour ago
0 Comments