CDR Hussein Mohammed Seif akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na mbio za Marathoni zinazotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi wa Oktoba 29, Zanzibar na kuzia mbio hizo katika eneo la Kambi ya KMKM Kibweni Zanzibar na kumalizikia katika viwanja vya maisara. Mbio hizo zitawashirikisha wakimbiaji kutoka Zanzibar Tanzania Bara na Kenya tayari wamethibitisha kushiriki mbio hizo za Marathoni.
CRDB Bank Yaendeleza Uwajibikaji kwa Jamii kwa Kutoa Msaada katika Makao ya
Watoto Kikombo, Dodoma
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
CRDB Bank kupitia Kitengo chake cha Manunuzi (Procurement) imetembelea
Makao ya Taifa ya Kulelea Watoto yaliyopo Kik...
1 hour ago
0 Comments