Mbio za Kimataifa za KMKM 10KM Marathoni zikiaza kutimua vumbi katika viwanja vya Kibweni ikiwa na washiriki 120 walioaza mbia hizo na kumalizia katika viwanja vya maisara Zanzibar.
WAKALA WA VIPIMO WABAINI UDANGANYIFU WA MIZANI MABUCHANI TEMEKE NA KIGAMBONI
-
Wakala wa Vipimo (WMA) Mkoa wa Temeke umebaini vitendo vya udanganyifu
katika baadhi ya mabucha yanayouza nyama, baada ya kufanya operesheni
maalum ya...
6 hours ago
0 Comments