Wafanyakazi wa Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ wakitowa huduma ya kibenki kwa wananchi waliofika katika viwanja vya Amaan Zanzibar wakati wa Bonaza la Michezo na Uzinduzi wa Ligi ya Mpira ijulikanao kwa Jina la Mkombozi Cup PBZ itakayoshirikisha timu 14,Wakati wa Bonaza hilo PBZ imetowa huduma za kugawa Card za ATM kwa wateja wao waliokuwa bado kuchukua card zao na kufungua akauti kwa wateja wapya na kuwaunga katika mtandao wa mobile bank.
MGODI WA KIHISTORIA WA NIOBIUM KUJENGWA MKOANI MBEYA
-
-Ni Mradi wa Panda Hill wa Niobium utakaogharimu TSh 700 bn
-Ni uwekezaji unaohusisha Kampuni ya Denham ya Marekani.
-Rais Samia apongezwa kufanikisha mrad...
11 minutes ago
0 Comments